Akizungumza na Mwananchi, msanii huyo leo Februari 16,2025 amesema licha ya mitazamo hiyo kwa sasa muziki huo umebadilika tofauti na ulivyokuwa awali. "Muziki wa Singeli asili yake umetokea uswahilini ...
Leo sio mara ya kwanza kupiga stori kuhusu ngoma ya Kila Wakati, mara ya mwisho wakati tunaichambua tuliangalia jinsi gani ngoma hiyo inawafundisha jambo waandishi wa habari, kwani ilipotoka, ...
Frida ambaye jana Februari 14, 2025 aliingia kwenye historia ya kuwa msanii wa kwanza wa kike wa muziki wa Hip-hop kutumbuiza kwenye Jukwaa la Sauti za Busara. Ni zao la mashindano ya kusaka vipaji ...
Msanii wa muziki wa Jazz, Blinky Bill kutoka Kenya, ameiambia Mwananchi Digital kuwa Tanzania imepoteza ladha ya muziki iliyokuwa ikifanya zamani. Msanii huyo ambaye ametumbuiza leo ikiwa ni siku ya ...
Some results have been hidden because they may be inaccessible to you
Show inaccessible results